twitter
    Find out what I'm doing, Follow Me :)

Pages

Thursday, 2 January 2014

Pai Ya Viazi Na Nyama Ya Kusaga

Indians slam gang-rape of teenager

Demonstrators hold placards demanding better safety for women in New Delhi. (File photo)
Demonstrators hold placards demanding better safety for women in New Delhi. (File photo)

Activists have staged a protest in India’s eastern city of Kolkata over the gang-rape and burning of an Indian teenager which led to her death.

Vita vyachacha mazungumzo yakipangwa

Watu waliokimbia makaazi yao kutokana na vita nchini Sudan Kusini, wakisubiri maboti kuvuka mto Nile, katika mji wa Bor.
Mapigano yanaendelea nchini Sudan Kusini licha ya pande mbili zinazohusishwa na mgogoro wa nchi hiyo kujiandaa kwa mazungumzo ya amani nchini Ethiopia.
Msemaji wa jeshi la Sudan Kusini ameiambia BBC kuwa mapigano yanaendelea katika mji wa Bor na baadhi ya sehemu za jimbo la Unity.